2016 KCSE Kiswahili Paper 1 Past Paper-Free KCSE Past Papers with Answers.

2016 KCSE Kiswahili Paper 1 Past Paper

Lugha

1 Lazima

Wewe ni katibu wa kamati inayochunguza jinni ya kupambana na tatizo sugu la dawa za kulevya. Andika ripoti ukitoa mapendekezo ya kamati.

2 “Utalii una faida nyingi kuliko madhara nchini Kenya.” Jadili.

3 Andika insha inayobainisha maana ya methali’: Chombo cha kuzama hakina usukani.

4 Tunga kisa kitakachomalizika kwa: “Niligugumia ile chupa ya maji kwa pupa. Sikuamini kuwa kiu yangu ingekatika. Baada ya kumaliza kunywa maji yote, ndipo nilipotambua kwa kweli kuwa maji ni uhai.